Jumatano, 15 Oktoba 2014

LOVE STORY




EVERLASTING LOVE. (Penzi la milele)  - 2

Na mtunzi wako; ELIAS ADOLF (eliado)
 
 ILIPOISHIA

Vilitokea vitu vingi vya ajabu katika mazishi ya mzee huyo lakini watu hawakushangaa sana kwani kwa watu maarufu kama hao, moja ya maajabu hayo ni pamoja na kutotosha kwa jeneza kwenye kaburi lililochimbwa pia ilinyesha mvua kubwa iliyoambatana na radi kali sana iliyopelekea watu saba kupoteza maisha yao na kwa maoni ya wenyeji walidai kuwa eti waliokufa walimsindikiza mfalme huyo. Hivyo baada ya siku arobaini shughuli zote zilimalizika na ikawa mwisho wa mzee huyo maarufu, waswahili wanasemaga itabaki stori tu.


RACHAEL ANAANZA SHULE.
Katika jiji la Dar es salaam kulikuwa na shule nyingi sana na nzuri lakini kutokana na utajiri wa familia yao, Rachael alipelekwa Nairobi kuanza shule ya awali iitwayo JUNIOUR INTERNATIONAL SCHOOL ni tawi la shule kubwa na maarufu iliyopo katika jiji la New York nchini Marekani inasifika sana kwa kukuza vipaji vya watoto wadogo. 
Basi safari ya maisha ya kimasomo ya Rachael yanaanzia hapa, mtoto huyu mrembo wa sura na umbo anasoma hapo kwa mda wa miaka miwili kabla ya kujiunga na shule ya msingi hapo hapo katika shule hiyo. Anaendelea na masomo mpaka anapofikisha umri wa miaka kumi na mbili ndipo hapo shughuli na kasheshe za binti huyo zinapoanza. 
Ni kipindi hicho ambacho alianza kujishughulisha na uhusiano wa kimapenzi, huwezi amini kwa umri wake huo mdogo alishabalehe na alikuwa na mvuto wa ajabu. Sijui ni kwa sababu ya mazingira mazuri na aina ya vyakula alivyokua akila au ni kile kitu alichokitabiri marehemu babu yake enzi ya uhai wake.
Lakini kutokana na tabia yake hiyo ya kuwalazimisha watoto wenzake wacheze michezo ya kiutu uzima ilimpelekea kushuka kwa maendeleo yake darasani na kushindwa kufikisha wastani wa kumwezesha kuendelea na masoma hivyo alitakiwa kurudia mwaka. Kwa kiburi cha fedha alichokuwanacho baba yake ilbididi Rachael aache shule na kurudi Tanzania. 
Mama yake na Baba yake walijipanga upya na kuamua kumpeleka katika shule moja hapa jijini zamani kama GREENBIRD SECONDARY SCHOOL huko anapata rafiki mpya siku ya kwanza tu alipoingia darasani na hii ni kutokana na mvuto mzuri aliokuwa nao.
Emmanuel Nyange wenyewe walimwita mtoto wa askofu kutokana na uhodari wake katika mambo ya kimungu, upole na heshima alizokuwa nazo miongoni mwa jamii ndiye rafiki mpya wa Rachael kwani walikuwa wakikaa meza moja. 
Emmanuel alitokewa kuvutiwa sana na mgeni  huyu lakini kutokana na maadili mema aliyokuwa nayo alimchukulia kama rafiki wa kawaida kwa maneno mengine alikuwa na upendo wa agape. 
Lakini kwa upande wa mtoto wa kike ilikuwa tofauti kabisa na kila siku alitamani kumwambia ukweli lakini alishindwa, miezi michache baadae binti wa watu uvumilivu ulimshinda na kuamua kuvunja ukimya, watoto wa mjini wanasemaga kama mbwai na iwe mbwai. Rachael ikabidi aanze kumwaga mchele kwenye kuku mmoja bila mafanikio. Kila siku iendayayo kwa mungu alijitahidi kufikisha hisia zake kwa njia ya kumtega mwezie tena kwa mitego ya kitoto. 
Emmaanuel ambaye kwa sasa na yeye alikuwa tayari ameshabalehe alijitahidi kujizuia sana na kutanguliza masomo mbele huku akiamini kuwa mapenzi yangeweza kumfanyanya hashindwe kufaulu kwa kiwango cha juu. Familia za pande zote mbili zilijua urafiki wa watoto wao hivyo basi ziliungana na kushirikiana katika mambo mengine ya kimaisha.
Ilikuwa siku ya jumapili mishale ya saa nane mchana Rachael alipompigia simu Emmanuel na kumwambia kwamba anamwomba waende kumwangalia rafiki yake kwani ni mgonjwa hivyo anaogopa kwenda mwenyewe. Cha ajabu na kufurahisha Rachael alimwagiza mfanyakazi wao wa ndani kuwa pindi Emmanuel atakapofika amwambie aingie moja kwa moja  kwenye chumba chake eti kwa sababu anayeumwa ni yeye na sio rafiki yake.
 Kutokana na heshima waliojijengea wafanyakazi wa pale ilimbidi atii amri bila kuuliza maswali yoyote. Rachael alijipanga kuakikisha lazima afanye mapenzi na Emmanuel, kwanza alivaa mavazi ambayo kwa mwanaume yeyote ni mtihani, kivazi hicho kifupi kilikuwa transparent inayoonesha kila aina ya kiungo cha mwanamke unachokijua. 
Ama kweli wembamba wa reli treni inapita, mtoto mdogo kama huyu tayari alikuwa na uchu wa kuvunja amri ngumu ya sita. Kuna harufu fulani ya pafyumu aina ya sex lady ndio ilikuwa imetawala mavazi hayo ya kimtego, siku hiyo humo chumbani kulikuwa na vitu vingi sana kama vile choculate, pipi za vijiti(lolpop), juisi ya nyanya na vingine vingi.
Vitu hivi vyote viliandaliwa kwa ajili ya shughuli moja tu ya kumkomvisi Emmmanuel kufanya nae mapenzi pia na kwa kummaliza kabisa kwa aliandaa mikanda ya xxxxxxxxxxx kwa wale wasioijua xxxxxxxx ni kitu kilichokatazwa na ndio maana zile nyumba zilzojengwa pembezoni mwa barabara zinawekwa xxxxxxxx.
watoto wa mtaani mara nyingi wana majina mengi sana ya mikanda hiyo enzi zetu tuliita pilau basi Rachael alikuwa nayo sijui aliipata wapi lakini alikuwa nao wenye lebo ya blue six in one vitu vilivyomo humo naogopa kuvielezea. Basi Emmanuel wa watu alipofika alipokelewa na mfanyakazi wa ndani na aliambiwa apitilize moja kwa moja chumbani kwa Rachael kwani ndiye alikuwa akiumwa.
 Alishangaa lakini aliamua kutii maelekezo na pia alipokuwa anasalimiana na yule mfanyakazi wa ndani aligundua kuwa wazazi wa Rachael hawakuwepo na walikuwa wameenda Arusha kwenye harusi ya binti wa rafiki yao mpendwa. Basi alipiga hodi na kuambiwa wewe ingia tu unamwogopa nani? 
Kusikia hivyo mzee mzima akazama ndani, kidogo azimie hakuwai kuona vitu kama vile akajikuta anaropoka kumbe Rachael ndo mzuri hivyo, nilikuwa sijui, lakini unaumwa nini mpaka uvae hivyo jamaani.? Kabla hajamaliza akavutwa kwa ndani na mlango ukafungwa, kwa sauti nyororo na ya mlegezo akajibiwa.......................ITAENDELEA

0 comments:

Chapisha Maoni