ZIFAHAMU
FAIDA NA HASARA ZA KAHAWA NA CHAI.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjWG72sq1CHdfto2tDMEMbEhmruZx4c92BhVNJggGik6xDlwJ2dDTdps4TRQ0jSa6W2P-nf7c9nirQ4hIfe9JxmZTgQHxqtO0AycfFn7Vh4rmnsW7ihfPCms1-5rQolSnmsOoTl4KwtgpA/s1600/c.jpg)
Pamoja na faida nyingi za vinywaji hivi lakini wanywaji
wanashauriwa kunywa kwa kiasi kwa sababu vyote vina Coffeine anaonya DR Jane
Scearce. Ni dhairi kuwa kuna mgongano wa fikra juu ya faida na hasara za
vinywaji mbalimbali. Zipo tafiti zinazosema Kahawa na chai zina faida na wapo
wanaosema zina hasara.
ZIFUATAZO
NI FAIDA ZA CHAI.
Kuna
aina nyingi za chai ambazo ushawahi kuzisikia baadhi yake ni nzuri na baadhi
yake ni mbaya. Ufati unaonesha kuwa aina yoyote ya chai inaongeza na kusaidia
kufanya kazi kwa homoni inayoitwa Insulini mara kumi na tano zaidi.
Chai ya kijani inaaminika kuwa na kitu
kinachoitwa kitaalam Antiozidants ambacho ni muhimu katika kuzuia saratani ya
matiti, mapafu na tumbo. Pia chai ya kijani inasaidia kuzuia kuzuia magonjwa
yanayoshambulia moyo na kupunguza uwezekano wa kupata presha. Wataalam pia wanaeleza
kuwa chai ya kijani pia inasidia kuunguza fati na kuyeyusha mafuta yaliyoganda
mwilini.
Chai
nyeusi ambayo mara nyingi inatengenezwa na majani yaliyokauka na hpitia
kiwandani na huwa na kiwango kikubwa cha coffeine. Chai hii ni nzuri kwani
inasaidia msukumo wa damu huyo hivyo kukulinda kutopata magonjwa ya moyo na
mshtuko. Pia wataalam wanasema chai ya aina hii inasaidia mapafu kwa wale
wanaovuta sigara.
Wataalam
wanasema pia aina nyingine za chai kama chai nyeupe inasidia kupunguza uzito na
pia zinasidia kulinda meno yasioze.
ZIFUATAZO
NI FAIDA ZA KAHAWA.
Mara
nyingi watu wamekuwa wakiogopakunywa kahawa kwa madai kuwa kahawa inaleta
magonjwa ya moyo na saratani ya tumbo. Lakini ukweli ni kwamba maneno hayo
hayana mantiki kama utakunywa kwa kiwango staili.
Kahawa
inasidia kuongeza kumbukumbu na kupambana na magonjwa yanayoshambulia moyo. Pia
kahawa inapunguza uwezekana wa kupata saratani ya matiti na utumbo mkubwa.
Wataalam wanaeleza kuwa kahawa inasaidia kuongeza kuupa mwili nguvu.
Ila kunywa
kahawa kwa wingi sio vizuri kwa afya yako anasema DR Jane Scearce. Inaweza
kusababisha kutopata usingizi na macho kuwa mekundu.
Waatalam
wanashauri wanashauri unywe mc 400 kwa mwanaume na 300mc kwa mwanamke, ambayo
ni sawa na vikombe 4 kwa mwanaume na 3 kwa mwanamke. Lakini kwa upande wa chai
ni vikombe 6 kwa mwanaume na 4 kwa mwamke.
Coffeine
inatoa faida nyingi za kiafya ikiwa na pamoja na kupunguza maumivu, uchovu na
kukufanya kazi kwa mda mrefu. Pia inasaidia misuli kutoshikamana wakati wa
mazoezi ya mwili.
Mwisho
ingawa ingawa kuna faida nyingi za kunywa chai na kahawa sio vizuri kunywa
kupita kiasi. Kunywa kwa kiwango kidogo kinachopendekezwa na wataalam kwa siku.
USIKOSE DARASA HURU LA KESHO.
0 comments:
Chapisha Maoni