EVERLASTING LOVE (Penzi la milele)
SEHEMU YA 4
MTUNZI: ELIAS ADOLF(eliado)
ILIPOISHIA
Wazazi wake Rachael wamerudi kutoka Arusha walipokuwa wakienda mapumzikoni na hii ni baada ya kupata taarifa za msiba wakiwa njiani, mama yake Rachael anaingia chumbani kwa mwanaye na kukuta Rachael yupo juu ya mwanaume wakivunja ile amri ngumu ya sita..Tiririka....
Basi watafanya nini hili hali mtoto akiunyea mkono huwezi kuukata, wanamgombeza sana na Emmanuel anatishiwa kuuwawa na bastola na baba yake Rachael lakini kwa huruma ya mama Rachael anafanikiwa kumtoa nje na kumwambia apotee eneo hilo haraka.
Majuto ni mjukuu, roho inamuuuma sana Emmanuel lakini hana jinsi maji yakishamwagika hayazoleki, kichwa chini, mikono kichwani utamu umegeuka shubiri, anafika kwao anapokelewa na maneno makali sana kutoka kwa mama yake mkubwa siunajua tena mtoto huyu yupo masomoni jijini hapa nyumbani kwao ni kule Dodoma.
Huku nyuma baba na mama yake Rachael wanapanga kumwamisha shule mtoto wao kutokana na matukio yanayoendelea kutokea, kimoyomoyo walikuwa wakiyakumbuka maneno wa marehemu Mbunda wa Mbunda aliyetabiri juu ya maisha ya huyu mtoto lakini imani ya dini iliwafamya kujisahulisha.
Wazazi wake Rachael wamerudi kutoka Arusha walipokuwa wakienda mapumzikoni na hii ni baada ya kupata taarifa za msiba wakiwa njiani, mama yake Rachael anaingia chumbani kwa mwanaye na kukuta Rachael yupo juu ya mwanaume wakivunja ile amri ngumu ya sita..Tiririka....
Basi watafanya nini hili hali mtoto akiunyea mkono huwezi kuukata, wanamgombeza sana na Emmanuel anatishiwa kuuwawa na bastola na baba yake Rachael lakini kwa huruma ya mama Rachael anafanikiwa kumtoa nje na kumwambia apotee eneo hilo haraka.
Majuto ni mjukuu, roho inamuuuma sana Emmanuel lakini hana jinsi maji yakishamwagika hayazoleki, kichwa chini, mikono kichwani utamu umegeuka shubiri, anafika kwao anapokelewa na maneno makali sana kutoka kwa mama yake mkubwa siunajua tena mtoto huyu yupo masomoni jijini hapa nyumbani kwao ni kule Dodoma.
Huku nyuma baba na mama yake Rachael wanapanga kumwamisha shule mtoto wao kutokana na matukio yanayoendelea kutokea, kimoyomoyo walikuwa wakiyakumbuka maneno wa marehemu Mbunda wa Mbunda aliyetabiri juu ya maisha ya huyu mtoto lakini imani ya dini iliwafamya kujisahulisha.
Rachael alichanganyikiwa kwa penzi la mtoto wa askofu na hata
wazazi wake walijiuliza sana bila kupata jibu.
Walishauriwa na mwalimu wa
malezi kuwa wasubiri mwaka huo uishe kwani zilbaki wiki tano tu kabla ya
kumalizika kwa muhula wa pili ili atakapohamia akaanze kidato kingine, bila
kinyongo walikubaliana na ushauri huo na walimsihii Rachael ajitaidi kufanya
vizuri.
kwa hiyo ndani ya mwezi huo mmoja watoto hawa wadogo lakini wenye mambo
makubwa waliendelea na mahusiano yao ya kimapenzi kama kawaida. Sasa hivi
walibadili staili ya kulimenya tunda walikuwa wanasubiri wikiendi na wanakwenda
kwenye nyumba za wageni na kufanya utundu wao.
Baada ya mwezi ule wa mitihani kumalizika Rachael alikuwa anasubirri ifike january ya mwaka mwingine apate kuama shule kwani hata yeye ingawa alikuwa akimpenda sana Emmanuel lakini alikuwa amechoshwa na malalamiko ya wazazi, waalimu na wanafunzi wengine kuwa yeye hajatulia, akijaribu kulinganisha na uvumi uliozagaa wiki moja kabla ya mitihani eti yeye aligawa penzi kwa mwalimu wa hesabu ili apewe majibu.
Baada ya mwezi ule wa mitihani kumalizika Rachael alikuwa anasubirri ifike january ya mwaka mwingine apate kuama shule kwani hata yeye ingawa alikuwa akimpenda sana Emmanuel lakini alikuwa amechoshwa na malalamiko ya wazazi, waalimu na wanafunzi wengine kuwa yeye hajatulia, akijaribu kulinganisha na uvumi uliozagaa wiki moja kabla ya mitihani eti yeye aligawa penzi kwa mwalimu wa hesabu ili apewe majibu.
Roho inamuuma sana kwani
zile zilikuwa njama zilizopangwa na Juliet msichana aliyetokea kumpenda sana
boyfriend wake. Kwa kiasi kikubwa skendo hii ilifanikiwa kwani Emmanuel hakuwa
tayari tena kuendelea na Rachael na likizo hii aliamua kurudi kwao Dodoma
kuwasalimia wazazai wake.
RACHAEL AHAMIA SHULE MPYA
Tarehe 13/01 Rachael anaripoti katika shule ya wasichana iliyopo morogoro wilayani mahenge ulanga, shule hiyo iitwayo ST AGNESS GILRS SECONDARY SCHOOL iliyo chini ya parokia ya kwiro jimbo la mahenge pia chini ya muhasham baba askofu Agapty Ndorobo.
RACHAEL AHAMIA SHULE MPYA
Tarehe 13/01 Rachael anaripoti katika shule ya wasichana iliyopo morogoro wilayani mahenge ulanga, shule hiyo iitwayo ST AGNESS GILRS SECONDARY SCHOOL iliyo chini ya parokia ya kwiro jimbo la mahenge pia chini ya muhasham baba askofu Agapty Ndorobo.
Shule hii ni nzuri kiupande
wa maadili kwani watoto wa pale wanalelelwa katika misingi ya kidini. Rachael
anapokelewa na na matroni Maria ambaye ndio sister mlezi wa shule hiyo pia
anakabiziwa kwa mwanafunzi mwenzake kama mwenyeji wake aitwaye LUCY MASIMBI
huyu wanatokea kuzoeana sana kutokana na uchangamfu wake.
Maisha yanaendelea vizuri kwa Rachael japokuwa inaonekana kama ngumu kwake kwani kuamka ni saa kumi na moja na ifikapo saa kumi na mbili wanafunzi wote wanatakiwa wawe kanisani haijalishi ni muislamu au mkristu, maadam upo pale unatakiwa kufuata shughuli na ratiba za pale.
Maisha yanaendelea vizuri kwa Rachael japokuwa inaonekana kama ngumu kwake kwani kuamka ni saa kumi na moja na ifikapo saa kumi na mbili wanafunzi wote wanatakiwa wawe kanisani haijalishi ni muislamu au mkristu, maadam upo pale unatakiwa kufuata shughuli na ratiba za pale.
Na kila
saa sita mchana na saa kumi na mbili jioni watu wote husimama na kusali ile
sala ya malaika wa bwana kwa wale waamini wa kikatoliki wanajua sala hiyo.
Masomo yanaanza kama kawaida saa mbili asubuhi na ifikapo jioni kuanzia saa
kumi na moja jioni huwa wanakwenda bustanini iliyo kidogo chini ya shule hiyo
basi huko ndipo Rachael huwa anafurahi.
kwani hupata nafasi ya kuonana na
wanaume au wavulana ingawaje huwa hapati nafasi ya kuongea nao lakini kwake
huwa ni zaidi ya faraja.
Sehemu hiyo kuna uwanja wa mpira wa miguu hapo huwa
wanafanya mazoezi wavulana wa aina mbalimbali ikiwa ni pamoja na wale wa shule
ya wavulana iitwayo Kwiro boys high school, hii ni shule kongwe iliyoanzishwa
na wajerumani na watu wengi maarufu walishawahi kusoma hapo.
Zamani ilijengwa
kwa makusudi ya kidini lakin mwaka 1967 iliitaifishwa na serikali, ina
wanafunzi wengi sana na wanatoka karibu mikoa yote ya nchii hii , inasifika
kuwa na mahabara nzuri sana licha ya hayo mazuri pia ina sifa kubwa ya kuwa na
fujo na vurugu.
Miaka ya nyuma iliripotiwa wanafunzi wa hapo walishawahi
kuchoma mabweni na kupiga mawe msafara wa mkuu wa wilaya. Kwa hiyo hata hiyo
shule ya kina Rachael walikuwa wakiwaogopa sana.
Kuna baadhi ya wanafunzi wa shule hizi mbili walikuwa na mahusiano mazuri ya kiuwanafunzi lakini wengine wao ni mapenzi tuu na kusahau kilichowapeleka huko.
Kuna baadhi ya wanafunzi wa shule hizi mbili walikuwa na mahusiano mazuri ya kiuwanafunzi lakini wengine wao ni mapenzi tuu na kusahau kilichowapeleka huko.
Kuna mwanafunzi mmoja jina lake Resty huyu
alikuwa na kaka yake hapo Kwiro secondary waliishi kwa raha sana na kila siku
walikuwa wakionana kisiri na kusalimiana, kaka yake huyo alipata umaarufu sana
kutokana na the way jinsi alivyo alikuwa tozi sana na muongeaji sana kwa hiyo
alijuana na mabinti wengi sana wenyewe walimwita SNOGA, huyu jamaa alikuwa na
kipaji cha kucheza ile miziki ya kizungu kama vile hana mifupa hapa huwa
namkumbuka marehemu Michael Jackson.
Kwa kuwa Rachael alikuwa anatamani sana
kupata rafiki wa kiume kutoka kwenye shule hiyo, alianza kazi hiyo mara moja
bila mafanikio baadae alipotafakari sana aliona kuwa kulikuwa na aja ya kuunda
urafiki na Resty dada wa yule tozi (Snoga bowow). Kwa kuwa siku zote penye nia
pana njia, Rachael alifanikiwa kuwa na urafiki na Resty, lakini kwa mda mfupi
tu Resty alifanikiwa kuisoma vizuri tabia ya rafiki yake na kugundua kuwa sio
nzuri.
Kwani ni juzi tu Rachael alishafanikiwa kumwingiza mfanyakazi wa shule yaani mtunza bustani katika himaya yake ya utumwa wa mapenzi na kumsababishia mvulana huyo kufukuzwa kazi kwa madai ya kuwa na ukaribu na baadhi ya wanafunzi wa hapo.
Kwani alishawahi kufumwa na Rachael huko
bustanini wakifanya vitu vya ajabu, sitaki kulielezea sana tukio hili kwani
vitu vya Rachael si mnavijua ana maufundi ya ajabu.
Alifanikiwa kuwa karibu
sana na Snoga lakini alishindwa kumuingiza kwenye himaya yake kwa sababu
mtanashati huyu alishaonywa na dada yake juu ya tabia mbaya ya Rachael. Ingawa
kwa upande wake aliona kama anazibiwa bahati tuu, na alijisemea kimoyomoyo kuwa
akiingia anga zangu kwa uzuri aliokuwa.................
0 comments:
Chapisha Maoni